Friday, October 17, 2008

GARNET SILK AU GARNETT SILK.



Nabii Garnet silk kazaliwa 1966 jamaika na wengi walitabiri nabii Garnett atakuwa au atavaa viatu na kuongoza manabii wengine lakini mwaka 1994 nabii aliaaga dunia wakati akijaribu kumwokoa mama yake wakati nyumba imesha moto.Nabii aliimba tungo zenye kumwamsha mwafrika na mwafrika ajitambue yeye ni nani.



No comments: