Friday, October 31, 2008

hatuaminiki hata kwa 5000.

wakati mwingine nabaki mdomo wazi na kujiuliza maswali mengi yasiyo na majibu ndio maana huwa naamini kuna WATU NA BIN ADAM.Tamaa ni kitu kibaya sana,unataka mabadiliko wakati mimi mwenyewe sijabadilika,unataka kukwapua wakati hutaki vyakwako kukwapuliwa.
5000 inakufanya kuto kuaminika na jamii?
kweli kuna watu na bin adamu.

tunaanza mwenzi hivi.

kulingana na mtazamo wako naomba mchango wako kulingana na hiyo picha.

Thursday, October 30, 2008

siku inakuja Afrika itaungana,siku inakuja waafrika wote waishio ughaibuni watarudi nyumbani

maneno yake Nabii Marcus Garvey
ndoto ambayo bado haijatimia lakini muda si mrefu maneno yake nabii Marcus Garvey yatatimia,itakuwa siku ya furaha sana pale tutakuwa ufukweni kuwapokea ndugu zetu kutoka ughaibuni,itakuwa siku ya furaha kwani tutawakaribisha nchi ya ahadi SHASHAMANE.
naamini katika nguvu na uwezo wa aliye hai Mfalme haile sellasi i atafanikisha Afrika iungane na kuwa kitu kimoja,naamini siku inakuja Afrika itakuwa na amani na upendo,naamini siku inakuja Afrika haitakuwa na maskini wala tajiri.bado naamini mimi na mimi unapenda sana.
Hivi naomba kuuliza,eti ni vigumu kusoma shahada ya udhamili hapa Afrika?au nauliza tena eti nivigumu kusoma katika mazingira ya hapa nyumbani mpaka uende kusoma nje?sasa nami nashangaa pake mzaliwa wa afrika anapokuja kutalii nchi yake.Eti ukijuwa lugha za kigeni kuliko lugha za nyumbani ni sifa ehhhh.

je unaikumbuka ijumaa nyeusi?

hivi vyombo vya habari vinavyo habarisha kuhusu vita vinahamasisha amani au mapambano?

Tuesday, October 28, 2008

lini Bara la Afrika litakaa kwa amani?




unasema unaamani?
unasema unakula kwa amani?
unalala kwa amani
wakati ndugu zetu wanatembea kutafuta amani.
congo iwe naamani,Afrika iwe na amani,watoto,wazee,kina mama hawana makosa.kama kweli mnataka kupigana,mngetafuta uwanja wenu wa mapambona nasio kuwahusisha ambao hawajui lolote.
swali,hivi hao waasi wanapata wapi silaa?nini kina cha vita huko congo?
amani bara la Afrika.





Chozi la mama wa Afrika

baba yuko wapi?
mama kamkumbuka mtoto,kambeba licha ya risasi na sauti za mabomu.
mama analia,analilia nini?huyu huyu mama katuzaa sisi tunaoo mrushia risasi na mabobu,huyu huyu mama katubeba sisi mienzi tisa tumboni lakini shukrani yetu tunamrushia mabomu na risasi.
Afrika tunakwenda wapi?kwanini kila kukicha mapigano yanapamba moto?je hawa waasi wanatoa wapi silaha za moto?jamani umoja wa nchi za Afrika tunafanya nini?kwanini tunasimama na kuangalia tuu?
tumesahau ya Rwanda na Burudi
liberia je!
angola,somalia,
kwanini iwe tu Afrika?
picha kwa hisani ya bbc news,mapigano yanayoendelea huko kwa ndugu zetu congo/zaire.
amani haitafutwi kwa mtutu wa bunduki.

Friday, October 17, 2008

GARNET SILK AU GARNETT SILK.



Nabii Garnet silk kazaliwa 1966 jamaika na wengi walitabiri nabii Garnett atakuwa au atavaa viatu na kuongoza manabii wengine lakini mwaka 1994 nabii aliaaga dunia wakati akijaribu kumwokoa mama yake wakati nyumba imesha moto.Nabii aliimba tungo zenye kumwamsha mwafrika na mwafrika ajitambue yeye ni nani.



Monday, October 13, 2008

JIPATIE MASHAHIRI YENYE HEKIMA NA TUACHE KUSIKILIZA TUNGO ZENYE KUABUDU MAPENZI.


NABII MUTABARUKA na DIS POEM.


DIS POEM

dis poemshall speak of the
dis poemshall speak of the wretched sea that washed ships to these shoresof mothers cryin for their youngswallowed up by the seadis poem shall say nothin newdis poem shall speak of timetime unlimited time undefineddis poem shall call namesnames like lumumba kenyatta nkrumahhannibal akenaton malcolm garveyhaile selassiedis poem is vexed about apartheid rascism fascismthe klu klux klan riots in brixton atlantajim jonesdis poem is revoltin against 1st world 2nd world3rd world division man made decisiondis poem is like all the restdis poem will not be amongst great literary workswill not be recited by poetry enthusiastswill not be quoted by politicians nor men of religiondis poem s knives bombs guns blood fireblazin for freedomyes dis poem is a drumashanti mau mau ibo yoruba nyahbingi warriorsuhuru uhuruuhuru namibiauhuru sowetouhuru afrikadis poem will not change thingsdis poem need to be changeddis poem is a rebirth of a peoplarizin awaking understandindis poem speak is speakin have spokendis poem shall continue even when poets have stopped writindis poem shall survive u me it shall linger in historyin your mindin time foreverdis poem is time only time will telldis poem is still not writtendis poem has no poetdis poem is just a part of the storyhis-story her-story our-story the story still untolddis poem is now ringin talkin irritatinmakin u want to stop itbut dis poem will not stop dis poem is long cannot be shortdis poem cannot be tamed cannot be blamedthe story is still not told about dis poemdis poem is old newdis poem was copied from the bible your prayer bookplayboy magazine the n.y. times readers digestthe c.i.a. files the k.g.b. filesdis poem is no secretdis poem shall be called boring stupid senselessdis poem is watchin u tryin to make sense from dis poemdis poem is messin up your brainsmakin u want to stop listenin to dis poembut u shall not stop listenin to dis poemu need to know what will be said next in dis poemdis poem shall disappoint ubecausedis poem is to be continued in your mind in your mindin your mind your mindwretched seathat washed ships to these shoresof mothers cryin for their youngswallowed up by the seadis poem shall say nothin newdis poem shall speak of timetime unlimited time undefineddis poem shall call namesnames like lumumba kenyatta nkrumahhannibal akenaton malcolm garveyhaile selassiedis poem is vexed about apartheid rascism fascismthe klu klux klan riots in brixton atlantajim jonesdis poem is revoltin against 1st world 2nd world3rd world division man made decisiondis poem is like all the restdis poem will not be amongst great literary workswill not be recited by poetry enthusiastswill not be quoted by politicians nor men of religiondis poem s knives bombs guns blood fireblazin for freedomyes dis poem is a drumashanti mau mau ibo yoruba nyahbingi warriorsuhuru uhuruuhuru namibiauhuru sowetouhuru afrikadis poem will not change thingsdis poem need to be changeddis poem is a rebirth of a peoplarizin awaking understandindis poem speak is speakin have spokendis poem shall continue even when poets have stopped writindis poem shall survive u me it shall linger in historyin your mindin time foreverdis poem is time only time will telldis poem is still not writtendis poem has no poetdis poem is just a part of the storyhis-story her-story our-story the story still untolddis poem is now ringin talkin irritatinmakin u want to stop itbut dis poem will not stop dis poem is long cannot be shortdis poem cannot be tamed cannot be blamedthe story is still not told about dis poemdis poem is old newdis poem was copied from the bible your prayer bookplayboy magazine the n.y. times readers digestthe c.i.a. files the k.g.b. filesdis poem is no secretdis poem shall be called boring stupid senselessdis poem is watchin u tryin to make sense from dis poemdis poem is messin up your brainsmakin u want to stop listenin to dis poembut u shall not stop listenin to dis poemu need to know what will be said next in dis poemdis poem shall disappoint ubecausedis poem is to be continued in your mind in your mindin your mind your mind

Friday, October 10, 2008

Morgan Heritage - Don't Haffi Dread

sio wote wenye nywele za msokoto ni mimi na mimi yani rastaman.
sikiliza ujumbe kutoka katika familia ya reggae
bofya hapa
http://www.youtube.com/watch?v=2QVWyBtJaxQ

Thursday, October 9, 2008

nabii peter tosh.


Name
Peter Tosh (Winston Hubert McIntosh)
Other Name(s)
Stepping Razor
Height
6' 3½" (192 cm)
Date of Birth
October 9, 1944
Birthplace
Trenchtown, Kingston
Star Sign
Libra
Died
September 11,
1987 (Aged 43)
Location of Death
Jamaica
Cause of Death
Murder by gunshot
Nationality
Jamaica
Ethnicity
Black
Religion
Rastafarian
Occupation
Composer
Celebrity Index
Pe
Claim to Fame
Legalize It, guitarist in the original Wailing Wailers

THE UPSETTER

Lee "Scratch" Perry
kwa sasa anamiaka 72 aliwahi kuwa producer wa nabii wailers,kwasasa the upsetter wametoa albam mpya kwa jina la 'Repentance'(kutubu).
wakati umefika sasa wa kuacha kusikiliza nyimbo za kuabudu mapenzi na kusikiliza sauti na ujumbe wa mimi na mimi na mimi.

TUANZIE WAPI?

katika mchakato wa kuifufua JUMUWATA, tuanzie wapi?

Wednesday, October 8, 2008

WANABLOGU TANZANIA.

mimi,simon kitururu na mzee wa rundugai chediel charles.
mlimani city samaki samaki 2008.

mimi na mkuu,katibu wa jumuwata.

hatimaye tumekutana.Katibu wa jumuiya ya wanablogu Tanzania,mkuu Simon Kitururu.

Sunday, October 5, 2008

KILA SIKU MPYA NI SIKU YA MAFANIKIO.

SONGA mbele,jipe moyo,wanasema hivi,hata Jah hapendi wale wanaokataa tamaa maishani.Maisha ni safari ndefu,hakuna kukata tamaa.Hakuna kukimbilia nchi za nje kwa kisingizio cha maisha bora,AFRIKA itajegwa na nani?

NABAKI AFRIKA.

amani.

JE,NI KWELI KUHUSU BLOGU ZETU?

Wakati nikiwa hapa na pale,nilikutana na watu au bin adamu wengi sana, huku mada za kilasiku zikibadilika huku nyingine za kubomoa na nyingine za kujenga sasa ni vema kusikiliza yote then unachuja yale yanayofaa na yasiyofaa.

mada moja mbayo ilinichanga na bado inazidi kunichanganya ni pale mmoja ya wale watu au bin adamu alisimama na kusema UNAWEZ A KUSOMA BLOGU MOJA KISHA UKAJUWA BLOGU ZINGINE ZOTE ZINAZUNGUMZIA NINI(BLOGU ZETU) sikusita kumwambia afafanue.

yule mtu au bin adamu akafafanua hivi,unakuta habari moja blogu zote kwa mfano kama blogu ya rastafarian imeandika kuhusu simba au yanga basi utakuta hii habari katika blogu zingine zote.

Kisha yule mtu au bin adamu akaendelea kuhoji,kulikoni blogu nyingi za Tanzania sio ACTIVE?kulikoni watu au bin adamu wameacha kublogu?

huyu bwana akaendelea kuuliza kulikoni JUMUWATA?

hizi nibaadhi ya changamoto tuanze kuzifanyia kazi.

amani iwe nasi sote.

jumuiya ya wanablogu tanzania.JUMUWATA.

mchana,usiku,siku,wiki,mwezi,miaka sijui jumuiya ya wanablogu tanzania imekwama wapi,je nani alaumiwe?je kulikuwa na umuhimu gani wa kuendesha mijadala na kuchaguwa wawakilishi wa JUMUWATA huku lengo likiwa kutoswa baharini?

Bado ninaimani kubwa kwamba jumuwata itasimama,bado ninaimani kubwa zile blogu ambazo sio active sikumoja sitzkuwa active.Nini kifanyike?Je nitatenda au tutatenda haki kuwalaumu wawakilishi waliochaguliwa kuendesha jumuwata?

naamini kabisa wachache tutaifufuwa jumuwata.

JE,NILIKUWA WAPI? sehemu ya kwanza.

nembo ya kikundi cha kusaidia yatima katika FOTOBARAZA.bofya hapa(http://fotobaraza.ning.com/group/yatimawetu).Kwasasa nadhani viongozi au wawakilishi wa yatima wetu fotobaraza,wanasubiri jibu kutoka wizara husika kuhusiana na katiba ya yatima wetu fotobaraza.

wana FOTOBARAZA,hapa kuna wajumbe na wawakilishi wa yatima wetu fotobaraza baada ya kukutana pale kijiji cha makumbusho.
kutoka kushoto ni RT,ANGEL,MICHUZIJR,CHAOGA TONGE,MKWAYA,BOB SANKOFA,MIMI(LUIHAMU) aliye chuchumaa ni Mkuu CHIBIRITI yule wa Italia.

kazi mpya ya nabii burning spear.



hii ni kazi mpya ya nabii burning spear.pure roots,mizizi yenyewe kabisa.
jah is real.

Saturday, October 4, 2008

Baada ya muda mrefu sasa nimerudi tena.

nadhani sihitaji kukaribishwa kwani nilikuwepo hapo awali.