Friday, October 31, 2008

hatuaminiki hata kwa 5000.

wakati mwingine nabaki mdomo wazi na kujiuliza maswali mengi yasiyo na majibu ndio maana huwa naamini kuna WATU NA BIN ADAM.Tamaa ni kitu kibaya sana,unataka mabadiliko wakati mimi mwenyewe sijabadilika,unataka kukwapua wakati hutaki vyakwako kukwapuliwa.
5000 inakufanya kuto kuaminika na jamii?
kweli kuna watu na bin adamu.

No comments: