Tuesday, November 4, 2008

I have a dream imemkuwa kweli.

AND NOW I AND I WAITING FOR THE BLACK STAR LINER SHALL COME.

4 comments:

Christian Bwaya said...

Maneno yaliyotamkwa milongo kadhaa nyuma yametimia. Jamaa amethubutu na imekuwa. Umejifunza nini rasi?

Christian Bwaya said...

Kaka siku ya kuadhimisha kublogu leo.

Mzee wa Changamoto said...

Unajua kinachokosekana ni watu kutambua nguvu ya UKWELI. Yaani ni lazima watambue kuwa yaliyosemwa yakiwa kweli na ambayo ni kweli kwa wakweli yatatimia NO MATTER WHAT. Kwa hiyo aliyosema Martin Luther ulikuwa ukweli na ndio maana umetimia, na yeyote atakayesema ukweli atambue kuwa utatimia hata kama si katika siku za uhai wake

Simon Kitururu said...

Vipi Ras!Mbona KIMYA?